Nafasi Ya Matangazo

June 28, 2025

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza nafasi za kazi za muda za watendaji wa vituo vya kupigia kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Kwa mujibu wa tanagzo lililotolewa na Tume leo tarehe 28 Juni, 2025 na kusainiwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima, R.K, nafasi  zilizotangazwa ni Wasimamizi au Wasimamizi wa Vituo cha Kupigia Kura na Karani Mwongozaji Wapiga Kura.

Sifa za waombaji, malipo, masharti na namna ya kutuma maombi vimeelezwa kwenye Tangazo HAPA 

TANGAZO HILI PIA LIPO KATIKA TOVUTI YA TUME  www.inec.go.tz
Posted by MROKI On Saturday, June 28, 2025 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo