Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amefanya uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa ufundi na Umeme (TEMESA).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi
Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Bw. Kheri Abdul Mahimbali ameteuliwa kuwa
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA).
Mahimbali aliwahi kuwa Naibu Katibu Kuu Wizara ya Nishati na Madini baadae kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Madini.







0 comments:
Post a Comment