Nafasi Ya Matangazo

March 01, 2025

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Kitaifa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo  2050, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa   akiongoza kikao  cha  Kamati hiyo kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam, Machi 1, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Kitaifa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo  2050, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Profesa Kitila Mkumbo, Rasimu ya Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 ili  aipeleke kwenye Baraza la Mawaziri na Bungeni kwa ajili ya kujadiliwıa na kutungiwa sheria. Tukio hilo lilifanyika kwenye kikao cha Kamati hiyo alichokiongoza kwenye Ofisi Ndogo ya  Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam, Machi 1, 2025.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Kitaifa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo  2050, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Uwekezaji na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Profesa Kitila Mkumbo,  Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili  aipeleke kwenye Baraza la Mawaziri na Bungeni kwa ajili ya kujadiliwıa na kuitungia sheria. Tukio hilo lilifanyika katika  kikao cha Kamati hiyo alichokiongoza kwenye Ofisi Ndogo ya  Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam, Machi 1, 2025. Kulia ni Kaimu  Katibu Mtendaji  wa Tume ya Taifa ya Mipango na Katibu wa Kamati ya Uongozi ya Kitaifa ya Dira 2050,  Dkt. Mursali  Milanzi. 
Posted by MROKI On Saturday, March 01, 2025 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo