Nafasi Ya Matangazo

March 04, 2025


Wananchi wanaoishi maeneo ya Forodha Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, katika maeneo ya Mwaloni, Mlingotini na Saadani wamepewa elimu ya udhibiti wa Magendo kwa kutambua athari mabali kama vile afya na pia serekali kushindwa kukusanya kodi stahiki.

Elimu hio ikiwa kama kampeni ya muda wa wiki mbili. Maafisa hao wakiongozwa na Afisa Mwendamizi Forodha Bw. Deogratius Nyenshile








Posted by MROKI On Tuesday, March 04, 2025 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo