Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Nyuki Kata ya Lukobe wakati alipokitembelea kituo hicho cha ofisi ya Serikali za Mtaa kukagua zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura lililoanza leo Machi mosi, 2025 mkoani Morogoro.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza na wananchi wakati akifatilia mwenendo wa zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura lililoanza leo Machi mosi, 2025 mkoani Morogoro.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa (Rufaa) Jacobs Mwambegele akiangalia namna mwendesha kifaa cha biometriki akichukua picha ya mwananchi aliyefika kuboresha taarifa zake katika kituo cha Mafiga B kata ya Mafiga mkoani Morogoro leo.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza na wananchi wakati akifatilia mwenendo wa zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura lililoanza leo Machi mosi, 2025 mkoani Morogoro.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa (Rufaa) Jacobs Mwambegele akiangalia namna mwendesha kifaa cha biometriki akichukua picha ya mwananchi aliyefika kuboresha taarifa zake katika kituo cha Mafiga B kata ya Mafiga mkoani Morogoro leo.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa (Rufaa) Jacobs Mwambegele akimkabidhi Kadi ya Mpiga Kura Ramadhani Waziri ambaye ni mpiga Kura Mpya wa Kata ya Mafiga Mkoani Morogoro.
Ramadhani Waziri ambaye ni Mpiga Kura Mpya wa Kata ya Mafiga Mkoani Morogoro akionesha kadi yake baada ya kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Mpiga Kura mpya Joyce Salehe mkazi wa Kata ya Boma katika Manispaa ya Morogoro akionesha kadi yake.
Ramadhani Waziri ambaye ni Mpiga Kura Mpya wa Kata ya Mafiga Mkoani Morogoro akionesha kadi yake baada ya kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufani, Jacobs Mwambegele akitembelea vituo hii leo akiwa na Afisa Mwandikishaji wa Manispaa ya Morogoro, Ndg. Faraja Maduhu.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufani, Jacobs Mwambegele akitembelea vituo hii leo.
Na Mwandishi wetu, Morogoro.
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wananchi kujitokeza katika vituo mbalimbali vya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaofanyika mkoani Morogoro na sehemu ya mkoa wa Tanga kwa siku saba kuanzia Machi mosi hadi 7, 2025.
0 comments:
Post a Comment