Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wawili katika taasisi na mamlaka nchini.
Rais amemteua Dkt. Elirehema Joshua Doriye kuwa Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA).
Rais amemteua Dkt. Elirehema Joshua Doriye kuwa Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA).
Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Christopher Derek Kadio kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali. Bw. Kadio anachukua nafasi ya Bi. Esther Hellen Lugwisha ambaye amemaliza muda wake.
0 comments:
Post a Comment