Nafasi Ya Matangazo

September 07, 2023

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki amempokea Rais wa Sénégal, Mhe. Macky Sall  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam ambaye amewasili nchini kuhudhuria Mkutano wa Mifumo ya Chakula barani Afrika ambao umeanza nchini kuanzia tarehe 5-8 Septemba 2023.

Posted by MROKI On Thursday, September 07, 2023 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo