Nafasi Ya Matangazo

April 04, 2023

 Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akiingia  bungeni jijini Dodoma, Aprili 4, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akislimiana na Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay, bungeni jijini Dodoma, Aprili 4, 2023.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, bungeni jijini Dodoma, Aprili 4, 2023. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Hai, Saashisha Mafue, bungeni jijini Dodoma, Aprili 4, 2023. 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Prof. Joyce Ndalichako Bungeni jijini  Dodoma leo Aprili 4, 2023.

Posted by MROKI On Tuesday, April 04, 2023 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo