Nafasi Ya Matangazo

March 06, 2019

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maabara ya chakula ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) wakati alipotembelea ofisi za Mamlaka hiyo, Mabibo jijini Dar es salam, Machi 6, 2019. Kulia ni  Meneja wa Maabara wa TFDA, Danstan Hipolite. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa ameshika  dawa ya malaria aina ya DUO -COTECXIN,  halisi kulia na bandia kushoto zilizopimwa na kugundulika hivyo  katika  Maabara ya Mamlaka ya Chakula  na Dawa (TFDA)  wakati alipotembelea ofisi za  TFDA , Mabibo jijini Dar es salaam, Machi 6, 2019.   Wa pili kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Angela Kairuki na wa tatu kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu., kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa TFDA, Candita Shirima. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kuhusu upimaji wa dawa na vyakula kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa  Usalama wa Chakula wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Justin Mkisi (kulia) wakati alipotembela ofisi za Mamlaka hiyo, Mabibo jijini Dar es salaam, Machi 6, 2019. Wa tatu kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Angela Kairuki, wa nne kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu na wa tano kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TFDA, Candita Shirima.. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama sampuli ya mafuta ya kula yanayosubiri kupimwa wakati alipotembelea ofisi za Mamalaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Mabibo jijini Dar es salaam,  Machi 6, 2019.  Kushoto ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, wa pili kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Angela Kairuki na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Usalama wa Chakula wa TFDA, Justin  Mkisi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kukagua shughuli mbalimbali zinazofanywa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) eneo la Mabibo jijini Dar es salaam, Machi 6, 2019. Wa pili kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TFDA, Candita Shirima.(Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)
Baadhi ya watumishi wa  Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowahutubia kwenye viwanja vya Ofisi za TFDA, Mabibo jijini Dar es salaam, Machi 6, 2019.  Wa pili kulia ni Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Angela Kairuki na wa tatu kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Posted by MROKI On Wednesday, March 06, 2019 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo