Nafasi Ya Matangazo

February 19, 2016

Mafundi wa Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam(Dawasco) wakiwa na Wakandarasi kutoka kampuni ya Sino Hydro wakikarabati  bomba  la Maji lenye  inchi 54, lililokuwa likivuja  maeneo ya Makongo jeshini na kusababisha kukosekana kwa huduma ya Maji maeneo mbalimbali ya jiji kwa Saa 36, huduma hiyo inatarajia kurejea katika hali yake ya  kawaida leo ambapo bomba hilo ni tegemeo la kuleta Maji kutoka Ruvu chini na kupeleka katika matenki  yaliyopo Chuo kikuu  cha Ardhi, Jijini Dar es Salaam. 
Posted by MROKI On Friday, February 19, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo