Nafasi Ya Matangazo

December 02, 2015

Mfanyakazi wa Kampuni ya TBL; kiwanda cha kuzalisha pombe kinywaji aina ya Chibuku  kilichopo Ubungo Dar es Slaam,Reocatus Hanania akipewa ushauri  nasaha na  akimsikiliza mtoa ushauri nasaha kutoka Kampuni ya bima ya Afya ya Metropolitan;  Aurelia Kanambi kabla ya kupima Virusi vya Ukimwi ikiwa ni sehemu ya maadhimishao ya siku ya ukimwi Duniani. TBL kila mwaka ambapo Kampuni ya kutengezea bia (TBL) hiyo kila mwaka huadhimisha siku hiyo kwa kualika wataalamu wa afya kwa ajili ya kutoa ushauri nasaha na kuwapima wafanyakazi wake wote
Mshauri nasaha kutoka Kampuni ya bima ya Afya ya Metropolitan; taasisi ya Matumaini Group ,Aurelia Kanambi  (kulia) akimpima  Virusi vya Ukimwi mfanyakazi wa Kiwanda cha Chibuku  kilichopo Ubungo jijini Dar es salaam, Agustino Mfinde ikiwa ni sehemu ya maadhimisha  ya siku ya ukimwi Duniani. ambapo Kampuni ya kutengezea bia (TBL) kila mwaka huadhimisha kwa kuwapima wafanyakazi wake ugonjwa huo
Afisa Muuguzi na Mshauri wa zahanati ya  Kampuni ya Bia ya Tanzania ( TBL)  Kiwanda cha  Dar es Salaam, Angela Mkende akimpima virusi vya ugonjwa wa Ukimwi  mfanyakazi wa kampuni hiyo Said Salum, ikiwa ni sehamu ya maadhimisho ya siku ya ukimwi Duniani  mwaka huu 2015. ambapo kampuni hiyo kila mwaka huadhimisha siku hiyo kwa kuwapimawafanyakazi wake wote .
Mfanyakazi wa kampuni ya  Bia Tananzania (TBL) Kitengo cha Maabara; Lab Technician.Sophia Koroso akipimwa  virusi vya ugonjwa wa ukimwi na mshauri nasaha kutoka Taasisi ya Matumaini Group; Kampuni ya bima Afya ya Metropilitan; Jackline Mkemangwa  kama sehemu ya ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani yaliyofanyika jijini Dar es salaam.Kila mwaka kampuni hiyo nchini huadhimisha maadhimisho hayo kwa kuwapima wafanyakazi wake wote.

Posted by MROKI On Wednesday, December 02, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo