Nafasi Ya Matangazo

April 30, 2015

Kiongozi wa Nidhamu wa Timu za Michezo Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Samwel Mwashamba pamoja na baadhi ya wavuta Kamba wakifurahia makombe ya ushindi waliyojinyakulia wakati wa Michuano ya michezo ya Mei Mosi Jijini Mwanza Aprili 29. 2015.
Mchezaji wa kuvuta Kamba wanawake Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Regina Kisinza akipokea kombe la ushindi kutoka kwa Mgeni rasmi Bw.Hussein Baraka (Mwenyekiti wa Shirika la Madini la Taifa) baada ya Timu yao kuibuka nafasi ya tatu kwa kuzidiwa alama mbili na timu ya uchukuzi na Wizara ya Mamno ya Ndani Aprili 2015.
Mchezaji wa kuvuta Kamba wananume Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Salimu Mwokiwa akipokea kombe la ushindi kutoka kwa Mgeni rasmi Bw.Hussein Baraka (Mwenyekiti wa Shirika la Madini la Taifa) baada ya Timu yao kuibuka nafasi ya pili kwa kuzidiwa alama moja na timu ya uchukuzi, Aprili 2015.
Posted by MROKI On Thursday, April 30, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo