Nafasi Ya Matangazo

February 05, 2015

Kiongozi wa Kanisa la Waadventist Wasabato (SDA) duniani, Askofu Ted Wilson (wapili kushoto) akingalia mkewe Bi Nancy Wilson akivishwa kitenge na wamama wa SDA Tanzania  wakati wa mapokezi yao Nhini leo alipowasili uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julis Nyerere  (JNIA) Dar es Salaam  kuhudhuria sherehe za utume zinazofanyika Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana ambaye ndiye aliyeongoza mapokezi hayo kiserikali.
 Viongozi hao wakiangalia gwaride maalum.
 Kiongozi wa Kanisa la Waadventist Wasabato (SDA) duniani, Askofu Ted Wilson na  mkewe Bi Nancy Wilson wakivishwa skafu.
 Gwaride maalum kutoka shule ya Msingi Heritage ya Ukonga Banana, wakitoa salam ya utii.
 Askofu Ted Wilson akipiga picha ya gwaride hilo.
Gwaride likitoa heshima maalum kwa Kiongozi huyo ambaye hii ni mara yake ya pili kuzuru Tanzania ila alikiri mapokezi haya ni ya kipekee.
 Gwaride lilikuwa la kipekee 
Kiongozi wa Kanisa la Waadventist Wasabato (SDA) duniani, Askofu Ted Wilson akisema neno na watoto hao na baadae kuwaombea.
  Kiongozi wa Kanisa la Waadventist Wasabato (SDA) duniani, Askofu Ted Wilson na mkewe wakizungumza na waandishi wa habari. 
 DC Rugimbana akiongoza ugeni huo.
  Kiongozi wa Kanisa la Waadventist Wasabato (SDA) duniani, Askofu Ted Wilson akisikiliza nyimbo kutoka kwaya maalum ya umoja.
  Kiongozi wa Kanisa la Waadventist Wasabato (SDA) duniani, Askofu Ted Wilson akizungumza jambo na wanakwaya hao hii leo.
Posted by MROKI On Thursday, February 05, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo