Nafasi Ya Matangazo

June 14, 2014

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akizungumza na Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, katika ukumbi wa Mapumziko ya Viongozi VIP   uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karumre Zanzibar,kabla ya kuondoka nchini kuelekea nchini Uingereza kwa safari maalum
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama  Mwanamwema Shein wakiagana na Vingozi mbali mbali na wazee wa Chama katika ukumbi wa Mapumziko ya Viongozi VIP   uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karumre Zanzibar,wakiondika kuelekea nchini leo kwenda Uingereza kwa safari maalum.
Posted by MROKI On Saturday, June 14, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo