Nafasi Ya Matangazo

November 25, 2013

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akizungumza wakati wa sherehe ya Siku ya Familia iliyofanyika Kunduchi Hoteli jijini Dar es Salaama na kuwashirikisha wafanyakazi wa Benki hiyo pamoja na familia zao. Kulia ni Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga.
Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Nahodha wa timu ya Fahari Huduma, Shaban Badi akipokea kombe kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimeia wakati wa sherehe ya Siku ya Familia iliyofanyika Kunduchi Hoteli jijini Dar es Salaam.
Washindi wa mpira wa wavu wakipokea zawadi ya kombe.
Furaha ya ushindi.
Mshindi wa kucheza muziki, Messi Dyama akipokea zawadi pamoja na fedha sh. 100,000 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
Wanamuziki wa Skylight band wakiongozwa na Meneja wa bendi hiyo, Aneth Kushala akiimba wakati wa sherehe hiyo.
Watu wengi walijitokeza.
Watoto wakicheza katika bwawa la kuogelea.
Watoto wakiogelea.

Posted by MROKI On Monday, November 25, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo