Nafasi Ya Matangazo

July 18, 2013

Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa Airtel Bi, Adriana Lyamba akijipanga na mmoja wa afisa mauzo wa Airtel wa Dar es salaam Bi, Violet Kajubili muda mfupi kabla ya wafanyakazi wote  kuelekea katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar esa salaam kuonana na wateja ili kutoa huduma mbalimbali ikiwemo  kuwaelimisha wateja wao jinsi ya kutumia huduma ya Airtel yatosha na promosheni ya shinda nyumba 3.

Mkurugenzi wa Airtel huduma kwa wateja Bi Adriana Lyamba  LEO amesema Airtel imefanya zoezi  la kuingia mtaani jijini dar es salaam na
wafanyakazi wao wote wa ofisi kuu jijini Dar es salaam kwa lengo la
kuhakikisha kuwa kila mteja anafaham jinsi ya kufaidika na huduma zao
zote ikiwemo ya Airtel Yatosha, ambapo mteja hujiunga kwa kupiga
*149*99# Kisha kuchagua kifurushi nafuu cha  SIKU WIKI AU MWEZI ili

kuongea kwa gharama nafuu kwenda mtandao wowote nchini Tanzania
 Meneja Uhusiano wa Airtel jackson mmbando akibadilishana mawazo na Maafisa mauzo wa Airtel  wa mkoa wa Dar es Salaam leo wakati wafanyakazi hao wakijipanga kuingia mtaaani kukutana na wateja wao na kuwaelekeza jinsi ya kujiunga na huduma ya Airtel Yatosha SHINDA  NYUMBA 3
 
 Baadhi ya maofisa na viongozi wa Timu Airtel Yatosha  wakiendelea kupeana maelekezo jinsi ya kwend a kuingia sokoni kwenye kila mtaa jijini Dar es salaam ili kuwapa somo la AIRTEL YATOSHA shinda nyumba tatu.
Posted by MROKI On Thursday, July 18, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo