Nafasi Ya Matangazo

July 11, 2013




Mama Rosemary Majanjala ambaye ni mama mzazi wa Msani wa Muziki wa Kizaz kipya Joseph Haule maarufu PROF JAY aliyefarika jana usiku kwa ajali ya kugongwa na gari wakati akijaribu kuvuka barabara akitokea dukani majira ya saa 1 za usiku huko Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam.
 
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa Prof Jay Mbezi Mwisho baada ya stendi mpya ya mabasi mbele kidogo utaona njia yakushoto inamagari mengi ndipo msiba ulipo.jijini Dar es Salaam.
Posted by MROKI On Thursday, July 11, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo