Nafasi Ya Matangazo

July 18, 2013

 Afisa Habari Mwandamizi wa Idara ya Habari Maelezo, Anna Itenda akikata keki ya maadhimisho ya miaka 95 ya Rais wa Kwanza Mzawa wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ambaye  ametimika miaka 95 tangu kuzaliwa kwake. Keki hiyo iliandaliwa na Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo. Keki hiyo ililiwa na waandishi wengi waliokuwapo Maelezo leo.

 Afisa Habari Mwandamizi wa Idara ya Habari Maelezo, Anna Itenda akikata keki ya maadhimisho ya miaka 95 ya Rais wa Kwanza Mzawa wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ambaye leo ametimika miaka 95 tangu kuzaliwa kwake. Keki hiyo iliandaliwa na Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo.
 Afisa Habari Mwandamizi wa Idara ya Habari Maelezo, Anna Itenda akikata keki ya maadhimisho ya miaka 95 ya Rais wa Kwanza Mzawa wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ambaye leo ametimika miaka 95 tangu kuzaliwa kwake. Keki hiyo iliandaliwa na Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo.
 Anna Itenda akimlisha keki mmoja wa Maofisa wa idara ya Habari.
Keki hiyo ya Mandela.
Posted by MROKI On Thursday, July 18, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo