Nafasi Ya Matangazo

July 19, 2013

Meneja mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Samsung,Sryvester Manyara (kushoto)  akimkabidhi simu,Mwandishi wa Gazeti la Habari Leo,Theopister Nzanzugwanko mara baada ya kushinda kwenye droo ya wanahabari kwa simu mpya ya Galaxy Star.Katikati ni Oditor wa bidhaa za Samsung,Sadic Abbas.
Meneja mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Samsung,Sryvester Manyara (kushoto)  akimkabidhi simu,Mwandishi wa Gazeti la Majira,Charles Lucas mara baada ya kushinda kwenye droo ya wanahabari kwa simu mpya ya Galaxy Star.Katikati ni Oditor wa bidhaa za Samsung,Sadic Abbas.
Meneja mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Samsung,Sryvester Manyara (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kuchezesha droo ya kila mwezi kwa wateja walionunua bidhaa za kampuni hiyo iliyochezeshwa Dar es Salaam jana.Kutoka kushoto ni Meneja wa Tawi la Samsung Quality Center, Jafari Adam,Mwakilishi wa Bahati na sibu ya Taifa,Mrisho Milao na Oditor wa bidhaa za Samsung,Sadic Abbas.
Meneja mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Samsung,Sryvester Manyara (wa pili kulia) akimpigia simu mshindi wa TV ya Samsung nchi 32 wakati wa kucheza droo kwa wateja wa kila mwezi wa bidhaa za kampuni hiyo,ambapo  mkazi wa Dar es Saalaam, Goodluck Mumvuri alijishindia.Kutoka kulia ni Kutoka kushoto ni Meneja wa Tawi la Samsung Quality Center, Jafari Adam,Mwakilishi wa Bahati na sibu ya Taifa,Mrisho Milao na Oditor wa bidhaa za Samsung,Sadic Abbas.
Meneja mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Samsung,Sryvester Manyara (katikati)  na Oditor wa bidhaa za Samsung,Sadic Abbas wakionyesha simu mpya za Galaxy Star ambazo ziligawiwa kwa wanahabari kwa njia ya kuchezesha droo ya bahati na sibu.Kushoto ni Mwakilishi wa Bahati na sibu ya Taifa,Mrisho Milao.
Posted by MROKI On Friday, July 19, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo