Nafasi Ya Matangazo

June 27, 2013

 Mbunge wa Jimbo la Ilala, jijini Dar es Salaam, na mmoja wa Wenyeviti wa Bunge, Mussa Zungu Azzan akiongoza kikao cha Bunge
 Mbunge wa Viti Maalum (CCM) kutoka Mkoani Arusha, Catherine Magige akiwa Bungeni mjini Dodoma Juni 26,2013.
 Mbunge wa Nzega, Dk. Hamisi Kingwangalla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa CCM nchi za SADC, Kelvin Nyamori (katikati) na Mbunge wa Kisesa, Luhanga Mpina, nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana.

 Mbunge wa Viti Maalu, Faida Mohamed Bakar akizungumza jambo na Mbunge wa Tandahimba, Juma Njwayo nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana.
Mbunge wa Viti Maalum, Faida Mohamed Bakar akifurahia jambo na Wabunge wenzake  Juma Njwayo wa Jimbo la Tandahimba, na Dk. Hamisi Kingwangala wa Nzega(kushoto) nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana.
 Wapigapicha za Habari wakiwa kazini Bungeni
 Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Josephine Gezabuke (kulia) nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. Kushoto ni Waziri wa Makamu wa Rais, Mazingira, Dk. Terezya Huvisa.
 Wabunge wakitoka Bungeni jana
Posted by MROKI On Thursday, June 27, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo