Nafasi Ya Matangazo

December 09, 2012

Mwenyekiti wa Kikundi cha akina dada cha Precious Group 2012 Agnes Shayo hiza akimkabidhi zawadi ya saa ya ukutani Magreth Chacha ambaye ni Mkurugenzi wa benki ya wanawake (TWB)aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa kikundi hicho na chakula cha jioni iliyofanyika usiku huu kwenye ukumbi wa Isumba Lounge zamani Jolly Club jijini Dar es salaam, ambapo wageni mbalimbani na wanakikundi wa Precious walijumuika pamoja katika uzinduzi huo.
Mwenyekiti wa Kikundi cha akina dada cha Precious Group 2012 Agnes Shayo Hiza akimkabidhi tuzo maalum mgeni rasmi Magreth Chacha ambaye ni Mkurugenzi wa benki ya wanawake (TWB) katika hafla ya uzinduzi wa kikundi hicho uliofanyika kwenye ukumbi wa Isumba Lounge jijini Dar es salaam, kulia ni Jane Mchau mwanakikundi ambaye alikuwa ni MC katika hafla hiyo. 
  Magreth Chacha ambaye ni Mkurugenzi wa benki ya wanawake (TWB) akizindua rasmi kikundi cha Precious Groupkwenye ukumbi wa Isumba Lounge jijini Dar es salaam. PICHA ZAIDI BOFYA JIACHIE BLOG
Posted by MROKI On Sunday, December 09, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo