Nafasi Ya Matangazo

October 16, 2012

Mhe.Naibu Spika Job Ndugai akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Malawi,Patrick Tsere (kushoto) mara baada ya kuwasili jijini Lilongwe.Naibu Spika Ndugai amewasili nchini Malawi kuhudhuria mkutano wa 32 wa Mabunge ya Nchi Wanachama wa SADC PF.Mkutano huo unatarajiwa kuandaa msingi wa uanzishwaji wa Bunge la SADC.Zaidi ya Wabunge 100 toka nchi 13 za SADC wanahudhuria.
Posted by MROKI On Tuesday, October 16, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo