Mjane wa Marehemu, Shujaa Daudi Mwangosi akilia kwa uchungu mkubwa huku akiwa amelala juu ya Kabuuri la Mpedwa Mumewake. Machozi ya mjane huyu na watoto, Ndugu jamaa na marafiki wote wa Marehemu pamoja na Damu isiyo na hatia ya Daud Mwangosi katu havitaweza kupotea bure na Mungu atajibu kwa wale wote walio msababishia mama huyu na watoto wake wan ne kubaki wakiwa.
Umati wawatu uliofurika kumzika Shujaa Daudi Mwangosi.
Mke wa Marehemu Daudi Mwangosi akilia kwa uchungu wakati akitoa heshima za mwisho kwa mpedwa mumewe.
Watoto wa marehemu wakiweka mashada ya maua juu ya kaburi la baba yako Kiopenzi Shujaa Daudi Mwangosi


Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Prof Mark Mwandosya akiweka Shada la maua katika kaburi la Shujaa Daudi Mwangosi. Hii ndio safari ya mnwisho ya mpendwa wetu Daud Mwangosi, Shujaa wa taaluma ya Habari aliyeuwawa wakati akitekeleza majukumu yake ya Uandishi wa habari mkoani Iringa. 



0 comments:
Post a Comment