Nafasi Ya Matangazo

June 11, 2012

Mashabiki wa bnuruidani waliofika katika ukumbi wa Dar LIVE, Mbagala jana walipata  burudani ya nguvu kutoka kwa magwiji wa taarab nchini – Khadija Kopa, malkia wa kundi la TOT, na malkia wa kundi la Melody, Mwanahawa Ally. Burudani hiyo ilisindikizwa na bendi ya muziki wa dansi ya Mashujaa.
 Wanamuziki wa TOT wakiitikia ‘mashairi’ ya Khadija Kopa.
 Mwanahawa Ally akiimba wimbo wa ‘Kinyago cha Mpapure’.
 Wanamuziki wa bendi ya Mashujaa, Gado ‘Field Force’ (kushoto) akiimba na Chalz Baba.
 Wanenguaji wa bendi ya Mashujaa wakiwajibika.
Chalz Baba akiwapa raha mashabiki.
Posted by MROKI On Monday, June 11, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo