Nafasi Ya Matangazo

April 07, 2012

 

Msanii wa Filamu za Bongo Movie "Marehemu Steven Kanumba anataraji kuagwa siku ya Jumanne katika viwanja vya Lidaz jijini Dar es Salaam. 
Pichani ni wasani wenzake mbalimbali ndugu jamaa na marafiki wakiwa katika maombolezo nyumbani kwake hii leo Sinza jijini Dar es Salaam.







Picha na Mamapipiro Blog.
Posted by MROKI On Saturday, April 07, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo