Nafasi Ya Matangazo

March 06, 2012

 Maelfu ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam leo wameungana na Familia ya Mhandisi Mponzi wa Oysterbay jijini Dar es Salaam akatika misa maalum ya kumuaga binti yao kipenzi Jane G. Mponzi aliyefariki juzi Machi 4,2012 saa 4 asubuhi baada ya kuugua ghafla. Jane Mponzi aliyekuwa Mfanyakazi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom na shabiki mkubwa wa Timu ya Simba ya Dar es Salaam pamoja na Man U aliagwa kwa awamu mbili ambazo zote zilifurika watu isivyotarajiwa.
 Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwao na marehem,u jijini Dar es Salaam.
 Ben Mponzi mdogo wa marehemu akisoma wasifu wa marehemu dada yake.
 Waombolezaji wakiwa nyumbani katika msiba.
 Familia ya Mzee Mponzi ikiwa Kanisani
 Waombolezaji waliofika katika Misa maalum ya kumuombea Marehemu Jane wakiwa Kanisani St Peter Dar es Salaamkabla ya mwili kusafishwa kwenda Tosamaganga Iringa kwa maziko kesho mchana.
 Kiukweli watu walikuwa wengi sana na magari yalikuwa mengi hadi Shule ya Msingi Oysterbay.
 Athumani Hamisi alikuwa ndiye mtu wa kwanza kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Jane.
 Watu kutoka Vodacom nao walityoa heshima
 Viongozi wa Dini na wanasiasa nao walifika kutoa heshima za Mwisho kwa marehemu Jane Mponzi.
 baba wa Marehemu akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Jane Mponzi.
 Wanafamilia
 Mwili ukitolewa nyumbani
 Padri akiunyunyizia maji ya baraka
Padri akiendesha misa maalum ya kumuombea marehemu.
Posted by MROKI On Tuesday, March 06, 2012 6 comments

6 comments:

  1. Ni ngumu sana kukubali jambo hili kwa mtu unayemjua... Tumuombe Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi.. Amin
    Miss Mdemu

    ReplyDelete
  2. The Lord giveth & the Lord taketh! May her soul R.I.P. My condolence to the family

    ReplyDelete
  3. REST IN PEACE MAMY!

    ReplyDelete
  4. kwa imani tutaonana nae ila ni ngumu sana cha muhimu sie tuliobaki kauangalia mwenendo na matendo kwani yatatufuata siku ya mwisho tubadilike na kutafuta amani na watu wote hata unapoondoka waseme na waige uliyoacha kumbuka matendo yako unaondoka nayo na hukumu yako ni ya milele angalia matendo yako alale pema peponi

    ReplyDelete
  5. mungu awajaze nguvu wafiwa...rest in eternal peace Jane...

    ReplyDelete
  6. may her soul rest in peace.

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo