Nafasi Ya Matangazo

February 02, 2012

Makamo mwenyekiti wa CCM Zanzibar Amani Abeid Karume akibadilishana mawazo na Makamo Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Pius Msekwa huko katika kiwanja cha mpira Uzini wakati wa kuzinduakampeni ya kugombea Uwakilishi wa jimbo hilo.
Wananchi mbalimbali pamoja na wakereketwa wa chama cha CCM wakiwa katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika huko katika kiwanja cha Uzini Zanzibar kwa ajili ya kumnadi mgombea wa Uwakilishi wa jimbo hilo ndugu Mohd Raza.
Makamo mwenyekiti wa CCM Zanzibar Amani Abeid Karume akimnadi mgombea wa Kiti cha Uwakilishi jimbo la Uzini ndugu Mohd Raza Huko katika kiwanja cha Mpira Uzini hapo jana .
Mgombea wa Uwakilishi wa Jimbo la Uzini Mohd Raza akihutubia wananchi pamoja na wanachama wa chama cha Mapinduzi baada ya kutambulishwa rasmi kwa wanachama hao hapo jana Kuliani kwake ni Makamo mwenyekiti wa CCM Zanzibar Amani Abeid Karume.

Vijana wa umoja wa waendeshaji mapikipiki wa chama cha Mapinduzi wakimsindikiza mgombea wa Uwakilishi wa chama hicho junbo la Uzini Mohamed Raza katika uzinduzi wa kampeni wa kuwania kiti cha Uwakilishi Jimbo hilo hapo jana.
Kijana wa chipukizi Zawadi Mbaraka akimvisha Skafu Makamo mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Amani Karume baada ya kuingia katika Uwanja wa Mkutano wa CCM kwa ajili ya kuzindua kampeni ya chama hucho huko Uzini wilaya ya kati Unguja.
Posted by MROKI On Thursday, February 02, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo