Nafasi Ya Matangazo

August 17, 2011

THE LATE PROF. JOSEPH T. KARASHANI
Tunasikitika kutangaza kifo cha Prof. Joseph T. Karashani, mkuu wa Kitivo cha Anatomy katika Chuo Kikuu cha Zambia (UNZA) Idara ya Udaktari na aliyewahi pia kishika wadhifa huo Chuo Kikuu cha Sayansi ya Afya (MUCHS) Dar es Salaam, kwa mshtuko wa moyo usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita nyumbani kwake Lusaka. Mpango unaendelea wa kusafirisha maiti kuja Dar es Salaam kwa ajili ya mazishi baadaye wiki hii. Kwa taarifa zaidi tunaomba mwasiliane na wafuatayo:


Fili Karashani +255-655-806771
James Karashani +255-713-334249
Robert Karashani +255-655-230960
Josephine Karashani +260-977-803853 (Lusaka)
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI

AMEN

'The Lord gave, and the Lord has taketh away, Blessed be the Name of the Lord' - Job 1:21
Posted by MROKI On Wednesday, August 17, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo