Nafasi Ya Matangazo

April 29, 2011

 Mchungaji wa Kanisa la Mtakatifu Johnson la Mwananyamala jijini Dar es Salaam,Elias Maguu akimpa sakaramenti ya Kimaimara kwa kumuwekea  mkono kichwani Timoth Albert wakati wa ibada ya Kipaimala iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam
 Timoth Albert akinyweshwa Shampeni na mpambe wake Charles Kamaleki wakati wa sherehe ya Kipaimara iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Johnson jijini Dar es Salaam.
Baba mzazi wa Timoth Albert ,Albert Mkomba akimvisha taji la mwanae baada ya kupata sakaramenti ya Kipaimara katika Kanisa la Mtakatifu Johnson  Mwananyamala jijini Dar es Salaam,(kushoto)  mama yake Elice Mkomba.tafrija ilifanyika katika ukumbi wa Gadern Mwananyamala.
Posted by MROKI On Friday, April 29, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo