Nafasi Ya Matangazo

October 13, 2010

Wastaafu wa iliyokuwa Jumuia ya Afrika Mahsriki ( EAC) leo waliamua kulala barabarani katika barabara ya Kivukoni mbele ya  Mahakama Kuu ya Tanzania mara baada ya hukumu ya kesi yao kushindwa kutolewa uamuzi leo kutokana na Jaji aliyekuwa akiiendesha kesi hiyo kudaiwa kujitoa.Wazee hao walichanganyika na warithi wao pamoja na wajukuu zao.
Posted by MROKI On Wednesday, October 13, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo