Nafasi Ya Matangazo

October 05, 2010

 David Scott na Alistai Bush washiriki wa mbio za mashua za Vodacom Tanzacat wakionyesha zawadi za picha walizozawadiwa baada ya kushiriki mbio hizo za mashua zilizofanyika katika fukwe za bahari ya Hindi ya Tanga ,Zanzibar na Dar Salaam hivi karibuni.
Washindi wa jumla wa mbio za mashua za Vodacom Tanzacat , Auron Ubrrall (kulia)na Sarah Pires wakipongezwa na marafiki zao ma baada ya kutangazwa kuwa washindi wa mbio hizo zilizofanyika katika ufukwe wa bahari ya Hindi ya Tanga ,Zanzibar na Dar Salaam hivi karibuni.

Posted by MROKI On Tuesday, October 05, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo