CCM Robert Simon Kisena wote wa jimbo la Maswa Magharibi.
Tunafualia zaidi kwani habari zineeleza kuwa mbali na shibuda watu wengine 10 wanashikiliwa na polisi huku ikielezwa kuwa mgombea wa CCM naye anasakwa na polisi kwa kumpiga OCD wa kituo cha Maswa akimtuhumu kuwapendelea wapinzani ambao anadai kuwa wamemuua dreva wake.




0 comments:
Post a Comment