Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha lamadi Wilaya ya Busega, wakati alipopokelwa mpakani mwa Mkoa wa Mara na Mwanza leo.
Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wa Wialaya ya Busega wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Nyamikoma kufanya mkutano wa kampeni leo.
Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wa Wialaya ya Busega wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Nyamikoma kufanya mkutano wa kampeni leo.






0 comments:
Post a Comment