Nafasi Ya Matangazo

October 22, 2010







Kama kuna vibweka viliwahi kutokea hapa duniani vya mastaa wa majuu basi hilki nacho kitakuwa ni kimoja wapo na hakika kila mtu atakubaliana nami kuwa kwa mwaka huu 2010 hii ni kali ya mwaka ambayo haijawahi tokea. Huyu ni Mwanamuziki Lady Gaga akiwa katika kivazi ambacho kimetengenezwa kwa nyama (steki) kuanzia kofia hadi viatu.

Hapa ni katika tuzo za MTV ambao alitwaa Tuzo ya Video bora.Kazi kwenu wabunifu wa Tanzania.
Posted by MROKI On Friday, October 22, 2010 2 comments

2 comments:

  1. mh kwani huyu akili zake huwa zinamtosha?sipati picha ananukaje nyama mwili mzima

    ReplyDelete
  2. Hii sasa ni kufuru kwa chakula na Mwenyezi Mungu Jamani.

    Khaah!

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo