Mfanyakazi wa Kampuni ya TSN inayochapisha magazeti ya Daily na Sunday News pamoja na HabariLeo Zaituni Mohamed Saeedia siku ambayo alitangaza nia na kisha kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya wana CCM kumteua kuwa mgombea Ubunge kwa tiketi ya Watu wenye Ulemavu.
Zaituni akimwaga sera zake kwa Wanahabari hawapo pichani.
Posted by MROKI
On Wednesday, July 21, 2010
No comments
0 comments:
Post a Comment