Badhi ya walimbwende wasomi wanao wania taji la Miss Vyuo vya Elimu ya Juu 2010 wakijifua kwaajili ya shindano hilo linalotaraji kufanyika Julai 23 2010 katika ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam ambako warembo 12 watachuana kuwania taji hilo.
Warembo hao ni kutoka vyuo vya IFM, CBE, USTAWI na UDOM.
Miss Tanzania 2009, Miriam Gerald (wapili kulia) na Mwalimu wao Torry (kulia) wakizungumza nba baadhi ya washiriki wa Miss Vyuo vya Elimu ya Juu 2010 baada ya mazoezi yao Dar es Salaam jana.
0 comments:
Post a Comment