Nafasi Ya Matangazo

July 21, 2010

Wavuvi wakishusha samakai baada ya kutoka kuwavua hii leo. Mfanya biashara wa Samaki akipanga samaki wake katika Soko la Kimataifa la Samaki Feri Dar es Salaam.

Samaki ni wachache na wanao hitaji ni wengi...hapa ni katika mnada watu nyomi.
Huu si mkutano wa Kampebi bali ni wanunuzi wa Samaki Feri wakisubiri samaki katika mnada. Akina mama wakipaa samaki wao walio wanunua. Hali ya upatikanaji samaki katika soko la feri si ya kuridhisha na kukidhi mahitaji ya watu wanaofika sokoni hapo.
Posted by MROKI On Wednesday, July 21, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo