Barabara hiyo imekatwa na sasa kufanya makutano ya Jamhuri, Azikiwe na Garden karibu na jengo la NMB na Mkapa Tower. Hatua hii imepelekea kupungua kwa foleni na pia madereva wanaaswa kuwa wastaarabu ili kuepusha foleni.
July 21, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment