Mwanamuziki wa muziki wa Kizazi kipya Bongofleva Selemani Msindi anayejulikana kama Afande Sele akiimba kwa hisia wakati wa tamasha la Sabasaba Concert lililoandaliwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania na kufanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga wilayani Temeke Julai 6-7 ambapo wasanii mbalimbali walishiriki ikiwa ni pamoja na bendi za muziki wa dansi.July 09, 2010
Mwanamuziki wa muziki wa Kizazi kipya Bongofleva Selemani Msindi anayejulikana kama Afande Sele akiimba kwa hisia wakati wa tamasha la Sabasaba Concert lililoandaliwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania na kufanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga wilayani Temeke Julai 6-7 ambapo wasanii mbalimbali walishiriki ikiwa ni pamoja na bendi za muziki wa dansi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment