Hii ilikuwa pale Wilayani Korogwe mkoani Tanga Hice ikiwa imesheheni pipa mbili za mafuta nyuma na abiria ndani jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa abiria na malizao.
Starehe gharama...Hice ikiwa imepakia lumbesa ya mizigo katika eneo la Mwanga Wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro. Askari wapo humu barabarani au wanakamata magari mazima tu na mabovu kama haya yanapeta.
0 comments:
Post a Comment