Watumishi hao 4 akiwapo Anwar pichani walipata ajali usiku baada ya gari lao kuacha njia na kupinduka na wanadaiwa kupata majeraha lakini hakuna aliyepoteza maisha.
Aidha Anwar ambaye alikuwa na vijana hao wakichapa kazi ya Fiesta Jamhuri alikuwa akielekea mjini Dodoma kupiga kazi ya CCM mjini humo.
Tutawapa habari zaidi baadae.




0 comments:
Post a Comment