Nafasi Ya Matangazo

June 01, 2010

Katibu mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Bw. Seith Kamuhanda akiongea na wahariri wa vyombo vya habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es salaam. Pamoja na mambo mengine ametoa changamoto kwa wahariri wawe chachu katika kuleta mabadiliko na kuhakikisha kuwa habari zinazotolewa zilenge katika kuchochea maendeleo nchiniWahariri wa vyombo vya habari wakifuatilia kwa makini hotuba ya Katibu mkuu wa Wizara ya Habari,Utamaduni na Michezo Bw. Seith Kamuhanda wakati alipokutana nao leo jijini Dar es salaam.
Posted by MROKI On Tuesday, June 01, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo