Nafasi Ya Matangazo

June 07, 2010

Mwanablogu Imani Hamza Kondo ambaye anafahamika zaidi katia tasnia hii ya Magazeti tando kama zemarcopolo, ametia nia ya kugombea Ubunge wa Morogoro Kusini Mashariki kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.


Yeyote atakayehitaji taarifa zaidi basi asisite kuwasiliana nae moja kwa moja kwa zemarcpolo@yahoo.co.uk Nashukuru Sana.
Posted by MROKI On Monday, June 07, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo