Nafasi Ya Matangazo

June 07, 2010

Mpigapoicha wa Idara ya Habari MAELEZO Dar es Salaam Aron Msigwa Juni 5 2010 aliaga rasmi kambi ya Makapera wa Idara hiyo baada ya kufunga nmdoa na kuwa mwili mmoja na Bi. Yunita Ntenegele katika kanisa la Pentekoste Tanzania Banana Ukonga.
Msigwa na Mkewe wakiwa wameshikana mikono huku wakiwa na nyuso zenye furaha tele.
Posted by MROKI On Monday, June 07, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo