Warembo wanaoshiriki katika shindano la kumsaka Redds Miss Ilala 2010 wakiingia kwenye kiwanda cha Kampuni ya bia ya TBL ili kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa kiwandani hapo wakati wa kutengeneza bia zinazozalishwa na kiwanda hicho warembo hao wanatarajia kupanda jukwaani kwenye ukumbi wa Ubungo Plaza juni 26 katika shindano la urembo litakalomtoa malkia wa Ilala mwaka huu, hivi sasa mrembo Sylivia Shally ndiye anayeshikilia Taji hilo baada ya kulichukua mwaka jana.
Hapa wakiangalia jinsi mitambo ya bia TBL .
Warembo wanaoshiriki katika shindano la Redds Miss Ilala wakielekezwa kitu na bw. Justino Jekela jinsi mtambo wa kuchuja bia unavyofanya kazi wakati walembo hao walipotembelea kiwanda hicho leo mchana.
Posted by MROKI
On Wednesday, June 23, 2010
No comments
0 comments:
Post a Comment