
Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, Clement Mshana akiwasilisha mada yake ya Mchango wa Vyomvyo vy Habari vya Umma na Binafsi katika kuelimisha jamii kuhusu huduma za afya vijijini. Mshana pamoja na mambo mengine alizitaja Blogs (Magazeti tando) kuwa ni vyombo vya kuwasilisha habari ambavyo vina kuja kutokana na mabadiliko ya teknolojia.
Mtangazaji wa Redio na Televisheni Tumaini Rose Mdami akiuliza swali.






Mchana watu hugonga menu kama hivi walau masomo yaka eleweka. 


0 comments:
Post a Comment