Nafasi Ya Matangazo

June 29, 2010

Jengo jipya la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania ambalo bado linaendelea na ujenzi wake katika eneo lililopo Ukonga Banana. Uwepo wa jengo hili la kisasa limebadilisha manzadhi ya Banana hasa ukiwaunatokea maeneo ya Ukonga Magereza kwa jinsi linavyoonekana.
Posted by MROKI On Tuesday, June 29, 2010 2 comments

2 comments:

  1. AnonymousJune 30, 2010

    Hili ni jengo la Mamlaka ya Usalama wa Usafiri wa Anga (TCAA) na si la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA)

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 01, 2010

    wote mmekosea ni MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo