Mfuko wa Bima ya Afya Tanzania (NHIF) umeandaa semina ya siku tatu mjini Morogoro kwa Wahariri wa Habari na Waandishi Waandamizi kutoka vyombo mbalimbali vya Habari Tanzania. Semina hii ni ya NHIF kuelezea kwa kina shughuli zake, mafanikio na matarajio nchini huku pia ikichukuliwa kama ni sehemu ya kufahamiana.
May 31, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




safi sana NHIF kwa kuwajaza mifuko waandishi na mabosi wao, nakumbuka semina kama hizo huwa na neema kubwa... ahaaaaaa, si mchezo dambaya umenenepa sana
ReplyDelete