Voda Milionea atembelewa Morogoro
Mshindi wa Tuzo Milionea Benard John(27)(katika)akibadilishana mawazo na Mtaalamu wa mambo ya habari wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu(kushoto)na Meneja Mawasiliano wa kampuni hiyo Nector Foya (kulia)wakati walipomtembelea Morogoro kwa ajili ya maandalizi ya kumkabidhi kitita chake cha Milioni 100 siku za usoni.
April 22, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment