Nafasi Ya Matangazo

March 17, 2010

Wageni waalikwa wakipewa maelekezo na wafanyakazi wa Zantel wakati wa hafla ya maonyesho ya bidhaa na huduma za intaneti zinazotolewa na kampuni ya Zantel.
Chief Commercial Officer wa Zantel Bw. Norman Moyoakiwahutubia wageni waalikwa wakati wa hafla ya maonyesho ya bidhaa na huduma za intaneti zinazotolewa na kampuni ya Zantel.
Sehemu ya maonyesho ya bidhaa na huduma za intaneti zinatolewa na Zantel.
Meneja Maendeleo ya Biashara Zantel Bw. Michael Magambo akizingumzia bidhaa na huduma za intaneti zinazotolewa na Zantel wakati wa hafla ya maonyesho iliyofanyika jana jioni.
Posted by MROKI On Wednesday, March 17, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo